Set Me Free Lyrics By Sauti Sol
Verse One
Hivi bado nakumbuka
Nikiwa kijana
Ile bangi nilivuta
Pombe nilipewa kwa sana
Na wasichana walinipenda
Wengine walinikataa
Na hapa nilipoamka
Sikulala jana
Napiga densi usiku kucha
Vijana kwa wasichana
Na ma CD zilipasuka
Wengi walizaana kwa sana
Na vijana wengi walikopa deni
Wapeleke slayqueen ma saloon
Wakatoanishwa bila kuonjeshwa
Wasaniii tuliponea
Naomba, naomba nizidi kijana
Naomba, naomba nizidi kijana
Naomba, naomba nizidi kijana
Won’t you set me free nizidi kijana
Set Me Free Lyrics Verse Two
Kaja Facebook kaja Twitter
Kaja pia na Instagram
Wengi walibwaga mioyo
Na picha za kutesa sana
Na walitesa tesa
Wazungu wanasemanga
Ati business and pleasure
Inasaidinga wazae kupunguza pressure
Vijana under pressure
Wasanii tuliponea
Naomba, nizidi kijana
Naomba, nizidi kijana
Naomba, nizidi kijana
Won’t you set me free nizidi kijana
Sauti Sol – Wake Up Lyrics Ft Mortimer
Set Me Free Lyrics By Sauti Sol – Download Mp3 Audio






